- Mawasiliano na habari
- Michezo
- Usanii
- Afya na usafi wa mazingira
SHOFCO inaaminika kwamba kutoa habari sahihi kunachangia kwa kiwango kikubwa mabadiliko na hivyo basi la msingi ni kuhakikisha jamii inapata habari kama kichocheo cha maendeleo. Ni kutokana na sababu hii kwamba shirika hili lilianzisha idara ya mawasiliano ili kutoa na kusambaza habari sahihi kwa vijana, washirika wengine na jamii kwajumla. Kualimbio yake ikiwa “kutoa changamoto na uwezo kwa jamii ndipo iweze kujiendeleza”.
SHOFCO limesajiliwa hapa Kenya chini ya sheria na mipangilio ya wizara ya jinsia, michezo, utamaduni na huduma kwa jamii.